WAANDISHI wa Mkoa wa Tanga wakibadilishana mawazo kabla ya kuwasili mwenge wa uhuru.

May 17, 2013
Kushoto aliyeinama akimaanisha hakutaka kupigwa picha ni Bertha Mwambela wa TBC,Katikati ni Sussan Uhinga wa gazeti la Mtanzania ambaye pia ni makamu mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Tanga na anayemfuatia ni Hassani Hashim kutoka Channel Ten ambaye pia ni Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa habari mkoa wa Tanga Tanga Presse Club

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »