MKUU wa Mkoa wa Tanga,Luteni Mstaafu,Chiku Gallawa akisoma taarifa ya mwenge wa uhuru jana mara baada ya kukabidhiwa ukitokea mkoani Pemba kushoto kwake ni Katibu wa CCM Mkoa wa Tanga,Gustav Mubba akisikiliza hotuba hiyo kwa umakini mkubwa.
Share this
EmoticonEmoticon