Katikati ni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga,Constatine Massawe akiwa na waandishi wa habari mkoa wa Tanga baada ya ufunguzi wa kikao cha tathimini ya dawati la jinsia na watoto kilichofanyika leo jijini Tanga,kulia ni Katibu wa Klabu ya Waandishi wa habari mkoa wa Tanga,(Tanga Press club),Lulu George na kushoto ni mratibu wa dawati hilo,Yason Mnyanyi,Picha na Mwandishi Wetu,Tanga
EmoticonEmoticon