DKT.NCHIMBI AWASILI SUMBAWANGA VIJIJINI

September 08, 2025

 


MGOMBEA mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwasili katika Uwanja wa Laela A,Sumbawanga Vijijini  kuwahutubia Wananchi  katika mkutano wa hadhara wa Kampeni  leo Jumatatu Septemba 8,2025.



Dk.Nchimbi ameingia Mkoani Rukwa leo kuendelea na mikutano yake ya kampeni ya kutafuta kura za kishindo kwa Chama Cha Mapinduzi ( CCM) kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29,2025.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »