JESCA MBOGO ACHUKUA FOMU YA KUWANIA UBUNGE VITI MAALUMU MKOA WA DODOMA

June 29, 2025


 Aliyekuwa Naibu Katibu mkuu UWT  Taifa Bi.Jesca Mbogo leo amechukua fomu ya kuwania ubunge wa viti maalumu mkoa wa Dodoma, Bi.Jesca amekabidhiwa fomu leo na katibu wa UWT Mkoa wa Dodoma Bi. Irimina Mushongi.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »