NAIBU WAZIRI MKUU AWASILISHA LONGIDO

April 24, 2025


Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akipokewa na Kiongozi wa wanafunzi kidato cha kwanza (1), Lucy Lengishoni mara baada ya kuwasili katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Longido Samia.

Ziara hiyo ni sehemu ya shamrashamra za kuadhimisha miaka 61 ya Muungano wa Tanzania Aprili 24, 2025 Mkoani Arusha. @biteko @onwm_tanzania



Share this

Related Posts

EmoticonEmoticon

:)
:(
=(
^_^
:D
=D
=)D
|o|
@@,
;)
:-bd
:-d
:p
:ng