VIDEO : MBUNGE MGIMWA ATOA VIFAA VYA UJENZI JIMBONI MWAKE

March 01, 2018
MBUNGE wa Jimbo la Mufindi Kaskazini Mahmoud Mgimwa ametoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi vyenye thamani ya zaidi ya Sh Milioni 12 vitakavyotumika kuboresha miundombinu ya sekta ya elimu na afya jimboni humo

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »