RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AKUTANA NA VIONGOZI WAKUU WA KAMPUNI YA TIGO, PIA AKUTANA NA WATENDAJI WAKUU WA KAMPUNI YA FERROSTAAL KUTOKA UJERUMANI NA DENMARK IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

March 21, 2018


Rais wa Jamhuri ya Muunganowa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Mauricio Ramos Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Millicom International Service LLC (wanne kutoka kushoto) ambayo ina miliki Kampuni ya simu yaTigo aliyefika Ikulu pamo jana ujumbe wake.



RaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania MheshimiwaDkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Watendaji Wakuu wa Kampuni ya FERROSTAAL kutoka nchini Ujerumani na Denmark Ikulu jijini Dar es Salaam wa kwanza kushoto ni Balozi wa Denmark EinarHebogard Jensen aliyeongoza Ujumbe wa Kampuni hiyo Ikulu jijini Dar es Salaam.


Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania MheshimiwaDkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzona Watendaji Wakuu wa Kampuni ya FERROSTAAL kutoka nchini Ujerumani na Denmark Ikulu jijini Dar es Salaam


Raiswa Jamhuri yaMuunganowa Tanzania MheshimiwaDkt. John PombeMagufuli akimpongeza Balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda IGP Mstaafu Ernest Mangu mara baada ya hafla fupi ya uapisho Ikulu jijini Dar es Salaam.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania MheshimiwaDkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamo jana Balozi mpya wa Tanzania nchini Urusi MejaJeneralimstaafu Simon Marco Mumwi(kushoto)pamo jana Balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda IGP Mstaafu Ernest Mangu
kulia) mara baada ya hafla fupi ya uapisho Ikulu jijini Dar es Salaam



RaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania MheshimiwaDkt. John PombeMagufuliakimsikilizaBalozimpyawa Tanzania nchini Rwanda IGP Mstaafu Ernest Mangu (hayupopichanialipokuwaakizungumza) marabaadayahaflafupiyauapishoIkulujijini Dar es Salaam.


RaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania MheshimiwaDkt. John Pombe Magufuli akipiga makofi mara baada ya Balozi mpya wa Tanzania nchini Urusi Meja Jenerali mstaafu Simon Marco Mumwi kumaliza kuzungumza katika hafla fupi ya uapisho Ikulu jijini Dar es Salaam.

Balozimpyawa Tanzania nchini Rwanda IGP Mstaafu Ernest ManguakiwakatikapichanaMkuuwaJeshi la Polisinchini, IGP Simon Sirro(wa kwanza kulia)KamishnaJeneraliwaUhamiajiDkt. Anna Makakalawa kwanza kushoto, MkuuwaJeshi la MagerezaKamishnaJeneraliwaMagerezaDkt. JumaMalewa(wapilikutokakulia)pamojanaviongoziwenginewaJeshi la polisimarabaadayahaflayaUapishoIkulujijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »