HIFADHI YA TAIFA TARANGIRE MAAFURU NYUMBA YA TEMBO YAZIDI KUVUTIA WATALII

January 04, 2018


Wanyamapori aina Tembo wakiwa ndani ya Hifadhi ya Taifa Tarangire inayopatika kwenye mikoa ya Manyara na Arusha ni kivutio kikbwa kwa wageni wanaotembela hifadhi hiyo.


Wanyamapori aina Tembo wakiwa ndani ya Hifadhi ya Taifa Tarangire inayopatika kwenye mikoa ya Manyara na Arusha ni kivutio kikbwa kwa wageni wanaotembela hifadhi hiyo.
Miti aina ya Mibuyu inaonekana kwa wingi na inaongeza mvuto kwenye hifadhi ya Taifa Tarangire.
Kundi la Tembo likinywa maji  ndani ya Hifadhi ya Taifa Tarangire.
Pundamilia ni sehemu ya kivutio cha watalii wa ndani na nje ya nchi .
Ndege aina ya Kanga

Msururu wa magari ya watalii ukisubiri utaratibu wa malipo kwa njia ya kadi kuanza safari ya kutembelea hifadhi hiyo

Watalii wakiwa ndani ya Hifadhi

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »