NAIBU WAZIRI MPINA AFANYA ZIARA KAHAMA

November 23, 2016


Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Luhaga Mpina katika Ziara ya kukagua DAMPO la Majitaka Mjini Kahama akionyesha namna ambavyo maji taka yanayomwagwa kiholela yalivyoenea kwa wingi katika eneo  la karibu na barabara.



 Kushoto ni NaibuWaziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Luhaga Mpina akiwa na wataalam katikati ni Bw. Jamali Baruti kutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira ( NEMC) kanda ya ziwa na Kulia ni Mwanasheria wa Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Abraham Mdee wakijadili jambo katika siku ya Pili ya Ziara Na Naibu Waziri Mjini Kahama.
Mabwawa ya Maji Taka ya Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu Mjini Kahama uliojengwa kitaalam na ado umekuwa ukilalamikiwa na wananchi wa vijiji jirani kuwa katika msimu wa mvua mabwawa hayo yanajaa maji yenye sumu na kumwagika katika mashamba ya wakazi hayo hivyo kuhatarisha maisha ya wakazi hao , mazingira na viumbe hai wengine.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »