Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (kulia) wakiwashukuru wananchi
waliojitokeza kuchangia ujenzi na ukarabati wa Shule ya Sekondari ya
Lindi iliyoungua moto hivi karibuni. Harambee hiyo ilifanyika kwenye
viwanja vya shule hiyo mjini Lindi Julai 17, 2017. Kushoto kwa Waziri
Mkuu ni Mkuu wa mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi.(Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (kulia) wakiwashukuru wananchi
waliojitokeza kuchangia ujenzi na ukarabati waShule ya Sekondari ya
Lindi iliyoungua moto hivi karibuni. Harambee hiyo ilifanyika kwenye
viwanja vya shule hilyo mjini Lindi Julai 17, 2017. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)