MAJALIWA AONGOZA HARAMBEE YA KUCHANGIA SHULE YA SEKONDARI YA LINDI ILIYOUNGUA

July 17, 2016

MKU1 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (kulia) wakiwashukuru wananchi waliojitokeza kuchangia ujenzi na ukarabati wa Shule ya Sekondari ya Lindi iliyoungua moto hivi karibuni. Harambee hiyo ilifanyika kwenye viwanja vya shule hiyo mjini Lindi Julai 17, 2017. Kushoto kwa Waziri Mkuu ni Mkuu wa mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MKU2 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (kulia) wakiwashukuru wananchi waliojitokeza kuchangia ujenzi na ukarabati waShule ya Sekondari ya Lindi iliyoungua moto hivi karibuni. Harambee hiyo ilifanyika kwenye viwanja vya shule hilyo mjini Lindi Julai 17, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MKU3

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »