Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
Gerson John Mdemu kuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ikulu jijini
Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi
vitendea kazi Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Gerson John Mdemu
mara baada ya kumuapisha Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Gerson John Mdemu mara baada ya
kumuapisha Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika picha ya pamoja na Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Gerson John
Mdemu wa pili kutoka kushoto. Wengine katika picha ni Katibu Mkuu
Kiongozi Balozi Mhandisi John Kijazi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali
George Masaju na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) Biswalo Mganga mara baada
ya tukio la uapisho kukamilika.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana Kiongozi wa Chama cha Kikomunisti cha China Luo Zhijun
kutoka jimbo la Jiangsu nchini China.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
na Kiongozi wa Chama cha Kikomunisti cha China Luo Zhijun kutoka
jimbo la Jiangsu nchini China, ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Balozi wa China hapa nchini lu youqing aliyeambatana na
Kiongozi huyo wa chama cha Kikomunisti cha China, Ikulu jijini Dar es
Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda Ikulu jijini
Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na
Kiongozi wa Chama cha Kikomunisti cha China Luo Zhijun kutoka jimbo
la Jiangsu nchini China mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu
jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika picha ya pamoja na ujumbe wa kiongozi huyo wa chama cha
Kikomunisti cha China Luo Zhijun pamoja na Balozi wa China hapa nchini
lu youqing mara baada ya kumaliza Mazungumzo yao. Wengine katika picha
ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Mhandisi John Kijazi pamoja na Mkuu wa
mkoa wa dar es Salaam Paul Makonda. PICHA NA IKULU