MAANDALIZI YA TAMASHA KUBWA LA SHABANI ROBERT LITAKALOFANYIKA SEPTEMBA YAENDELEA

June 15, 2016
 Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Shabani Robert ,Mohamed Hariri akizuingumza jambo na wajumbe wakati wa kikao cha pili kilichofanyika leo ukumbi wa Tangamano mjini Tanga kushoto ni Katibu wa Kamati ya Maandalizi Madame Mkombo na kulia ni Bakari Nauma ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Timo
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Shabani Robert,Mohamed Hariri akizuingumza jambo na wajumbe wakati wa kikao cha pili kilichofanyika leo ukumbi wa Tangamano mjini Tanga wa kwanza kulia ni Mratibu wa Matukio wa Taasisi ya Timo,Bakari Kiwingu.
Afisa Sanaa wa Jiji la Tanga,Rose John Bendera akisisitiza jambo kwenye kikao cha pili cha maandalizi ya Tamasha la Shabani Robert litakalofanyika mwezi Septemba mwaka huu mjini Tanga.
Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF)Mkoani Tanga,Ally Mwakababu akitoa elimu kwa washiriki wa kikao hicho namna ya kutumia huduma ya kikoa na toto kadi 
 Meza kuu wakifuatilia ndondo za tamasha hilo kwenye baadhi ya makabrasha leo wakati wa kikao hicho cha kwanza.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »