Afisa Sanaa wa Jiji la Tanga,Rose John Bendera akisisitiza jambo kwenye kikao cha pili cha maandalizi ya Tamasha la Shabani Robert litakalofanyika mwezi Septemba mwaka huu mjini Tanga. |
Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF)Mkoani Tanga,Ally Mwakababu akitoa elimu kwa washiriki wa kikao hicho namna ya kutumia huduma ya kikoa na toto kadi |