Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka akivalishwa skafu baada ya kuwasili makao makuu ya chama cha mapinduzi (CCM) mkoa wa Tanga wakati wa ziara yake |
Hapa wakikagua gwaride hilo kabla ya kuanza kikao cha pamoja |
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Tanga,Abdi Makange akizungumza neno kabla ya kumkaribisha Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka kushoto ambaye yupo kwenye ziara ya kikazi mkoani hapa |
Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka akizungumza na vijana wa Jumuiya wa Umoja huo mkoani Tanga leo kwenye ukumbi wa CCM uliopo barabara 20 mjini Tanga.
BAADHI YA WANACHAMA WA JUMUIA YA UMOJA WA VIJANA MKOANI TANGA WAKIMFUATILIA KWA UMAKINI KAIMU KATIBU MKUU WA UVCCM TAIFA SHAKA HAMDU SHAKA |