Waziri wa Ardhi Nyumba na
Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akutana na Wamiliki wa Mabenki
Nchini ili kuzitambua Hati Miliki za Ardhi za Kimila katika kutoa mikopo
kwa Wakulima, wajenzi na Wajasiliamali leo jijini Dar es salaam katika
ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT).
Waziri
wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi
akiwasisitiza Wamiliki wa Mabenki Nchini kuzitambua Hati Miliki za Ardhi
za Kimila katika kutoa mikopo kwa Wakulima, wajenzi na Wajasiliamali,
kushoto ni Bibi Medelina Kiwayo Meneja Usimamizi wa Taasisi za
Fedha-Benki Kuu na Tuse Joune Kaimu Mkurugenzi Mkuu Chama cha Wenye
Mabenki Tanzania (TBA).
Waziri
wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi
akiwasisitiza Wamiliki wa Mabenki Nchini kuzitambua Hati Miliki za Ardhi
za Kimila katika kutoa mikopo kwa Wakulima, wajenzi na Wajasiliamali
alipo kutana nao leo jijini Dar es salaam.
Waziri
wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi
akiwasisitiza Wamiliki wa Mabenki Nchini kuzitambua Hati Miliki za Ardhi
za Kimila katika kutoa mikopo kwa Wakulima, wajenzi na Wajasiliamali
alipo kutana nao leo jijini Dar es salaam.
Waziri wa Ardhi Nyumba na
Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akiwa katika kikao na Wamiliki
wa Mabenki Nchini ili kuzitambua Hati Miliki za Ardhi za Kimila katika
kutoa mikopo kwa Wakulima, wajenzi na Wajasiliamali, kulia ni Bibi
Medelina Kiwayo Meneja Usimamizi wa Taasisi za Fedha-Benki Kuu na Tuse
Joune Kaimu Mkurugenzi Mkuu Chama cha Wenye Mabenki Tanzania (TBA),
kushoto ni David Shambwe Mkurugenzi wa Hazina na Maendeleo ya
Biashara-NHC na Mary Makondo Kaimu Kamishna wa Ardhi.
Baadhi ya Wamiliki wa Mabenki Nchini wakiwa katika kikao hicho.