SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA UJUMBE WA WABUNGE MAREKANI

February 19, 2016
UJ01Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akizungumza na Wabunge wa Bunge la Marekani (Congress) waliomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Febuari, 2016.
UJ1Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama wakizungumza na Ujumbe wa Wabunge kutoka Bunge la Sweden waliotembelea Ofisi za Bunge leo Jijini Dar es Salaam.
UJ02Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akizungumza na Wabunge wa Bunge la Marekani (Congress) waliomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam
UJ2Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama wkiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe wa Wabunge kutoka Bunge la Sweden waliotembelea Ofisi za Bunge leo Jijini Dar es Salaam.
(Picha na Ofisi ya Bunge)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »