Mwanamitindo wakimataifa Flaviana
Matata ambaye anafanyia shughuli zake nchini Marekani , leo alikuwa
kwenye kipindi cha Runinga cha The Mboni Show kama mgeni mwalikwa
akiiwakilisha PSPF akiwa mmoja wa Balozi wa PSPF akiwakilisha DIASPORA.
Akiwa kwenye kipindi hicho
sambamba na mwanadada Mboni Masimba alizungumzia masuala mbalimbali
ikiwepo maisha ,familia sambamba na kazi zake kama balozi wa PSPF ndani
na nje ya nchi.
PSPF ni wadhamini wa kuu wa The Mboni Show .
mara baada ya show hadhira
iliyokuwepo ilijiandikisha katika mpango wa kuchangia kwa hiari wa mfuko
huu wa PSPF , Ambapo mtu yeyote anaweza kujiunga na mfungo huo ambao
zaidi ya kupata mafao pia unaweza kukuwezesha kununua nyumba /viwanja /
mkopo kwa wajasiriamali /wa elimu na mengi mengineyo.
ONJA RED CARPET