Mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM, Emannuel Nchimbi, akimnadi mgombea Ubunge jimbo la Tanga mjini, Omari Nundu, wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Mijohoroni kata ya Kiomoni Tanga jana.
CCM HAPA NI KAZI TU NAMNA HIII
Mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM, Emannuel Nchimbi, akimnadi mgombea Ubunge jimbo la Tanga mjini, Omari Nundu, wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Mijohoroni kata ya Kiomoni Tanga jana.