Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
akikutana, kufanya mazungumzo ya faragha na kisha kuagana na Rais Joseph
Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC wakati Rais huyo
aliposimama kwa muda katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Kambarage
Nyerere jijini Dar es Salaam leo mchana na kisha kurejea Kongo.
(Picha na Freddy Maro)