Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
Mathias Chikawe (katikati) akimkaribisha Mwakilishi Maalumu wa Marekani
katika Eneo la Maziwa Makuu, Thomas Perriello (wapili kushoto), Naibu
Balozi wa Marekani nchini, Bibi Virginia Blaser (kushoto), pamoja na
wasaidizi wa viongozi hao wanaoiwakilisha Marekani (kulia), kabla ya
kuanza mazungumzo yao kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya
Marekani na Tanzania. Hata hivyo, Mwakilishi huyo aliipongeza Tanzania
kwa kupokea na kuhifadhi Wakimbizi nchini. Mwakilishi huyo akiambatana
na Naibu Balozi, walimtembelea Waziri Chikawe ofisini kwake jijini Dar
es Salaam leo.
Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Mwakilishi Maalumu wa Marekani
katika Eneo la Maziwa Makuu, Thomas Perriello (katikati) akimfafanulia
jambo Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kulia) wakati
wa mazungumzo yao kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya
Marekani na Tanzania. Hata hivyo, Mwakilishi huyo aliipongeza Tanzania
kwa kupokea na kuhifadhi Wakimbizi nchini. Kushoto ni Naibu Balozi wa
Marekani nchini, Bibi Virginia Blaser. Mwakilishi huyo akiambatana na
Naibu Balozi, walimtembelea Waziri Chikawe ofisini kwake jijini Dar es
Salaam leo.
Mwakilishi Maalumu wa Marekani
katika Eneo la Maziwa Makuu, Thomas Perriello (katikati) akimfafanulia
jambo Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kulia) wakati
wa mazungumzo yao kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya
Marekani na Tanzania. Hata hivyo, Mwakilishi huyo aliipongeza Tanzania
kwa kupokea na kuhifadhi Wakimbizi nchini. Kushoto ni Naibu Balozi wa
Marekani nchini, Bibi Virginia Blaser. Mwakilishi huyo akiambatana na
Naibu Balozi, walimtembelea Waziri Chikawe ofisini kwake jijini Dar es
Salaam leo.