Rais Jakaya Mrisho Kikwete na
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha
Wamiliki wa Vyombo vya Habari (MOAT) Dkt Reginald Mengi wakiongea na
kubadilishanma mawazo Ikulu, Jijini Dar es salaam katika hafla ya
kutunuku nishani kwa watumishi wa umma na wananchi waliofanya vyema na
kwa uadilifu kwenye sehemu zao za kazi. Dkt Mengi alikuwa mmoja wa watu
mashuhuri walioalikwa hapo Ikulu.
PICHA NA IKULU