MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI ARUSHA

June 30, 2015

Mhe.Jaji  Fransis S.K Mutungu , Msajili wa Vyama Vya Siasa Nchini (kushoto) akizungumza na  Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mhe.Daudi Felix Ntibenda wakati alipomtembelea  Ofisini kwake.
 Mbunge wa Arusha Mjini, Mhe Godbless Lema akifafanua jambo kwa Mhe. Mutungi alipomtembelea ofisini kwake


Bw. Lewis Y. Mnyambwa ambaye ni Afisa Utumishi Jiji la Arusha, kwa niaba ya Mkurugenzi wa Jiji akimweleza jambo Mhe. Jaji Mutungi alipotembelea ofisi ya Mkurugenzi wa Jiji la Arusha

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »