BERNARD MEMBE ATUA TANGA KUTAFUTA WADHAMINI KUANZA SAFARI YA IKULU

June 16, 2015


 Waziri wa Mambo ya nchi za nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe ambae pia ni Mbunge wa jimbo la Mtama, akisalimiana na wanachama wa CCM, Mkoa wa Tanga waliojitokeza makao makuu ya chama hicho kumdhamini katika fomu zake za kuomba ridhaa ya kugomea urais .


 Waziri wa Mambo ya nchi za nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ambae pia ni Mbunge wa jimbo la Mtama, akiwahutubia wanachama wa CCM Mkoa wa Tanga waliojitokeza makao makuu ya chama hicho kumdhamini katika fomu zake za kuomba ridhaa ya kugombea urais.


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »