Waziri wa Mambo ya nchi za nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ambae pia ni Mbunge wa jimbo la Mtama, akiwahutubia wanachama wa CCM Mkoa wa Tanga waliojitokeza makao makuu ya chama hicho kumdhamini katika fomu zake za kuomba ridhaa ya kugombea urais.
BERNARD MEMBE ATUA TANGA KUTAFUTA WADHAMINI KUANZA SAFARI YA IKULU
Waziri wa Mambo ya nchi za nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ambae pia ni Mbunge wa jimbo la Mtama, akiwahutubia wanachama wa CCM Mkoa wa Tanga waliojitokeza makao makuu ya chama hicho kumdhamini katika fomu zake za kuomba ridhaa ya kugombea urais.
EmoticonEmoticon