PINDA ATEMBELEA SOKO LA MIEMBENI DODOMA

March 10, 2015

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua bei ya mahindi katika soko  la Miembeni mjini Dodoma Machi 8, 2015. Alipita sokoni hapo kukagua upatikanaji wa vyakula. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
pi2 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwapa maelezo kuhusu kilimo cha zabibu Walimu wa Shule za Kata ya Zuzu, Dodoma waliokwenda shambani kwake Machi 8, 2015 kwa ziara ya kujifunza. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »