
Nyumba
ikiendelea kuteketea kwa moto mapema leo katika eneo la Soweto jijini
Mbeya,Chanzo cha moto huo hakikuweza kufahamika mara moja.Picha na
Fadhiri Atick Mr.Pengo,Mbeya.

Juhudi
za kuuzima moto huo zikiendelea kufanywa na baadhi ya majirani wa eneo
ilipo nyumba hiyo,huku wakiendelea kukisubiria kikosi cha Zimamoto.
Hakuna kilichobaki ndani ya Nyumba hiyo.
baadhi ya vitu vilivyo teketea na moto huo
baadhi ya majirani wakitoa pole kwa familiya iliyoathirika na janga hilo.
hivi ndivyo hali ilivyo kuwa leo jijini mbeya.
EmoticonEmoticon