VIONGOZI WA DINI WAJITOSA MAPAMBANO DHIDI YA UJANGILI, WAKUTANA NA WAZIRI NYALANDU KUPANGA MIKAKATI

February 12, 2015

 WAZIRI WA Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akizungumza katika mkutano wake na viongozi wa dini mbalimbali uliofanyika kwenye Hoteli ya Double Tree mjini Dar es Salaam, leo. Katika mkutano huo uliohudhuriwa na viongozi wa juu wa dini mbalimbali masuala mbalimbali kuhusiana na madhara ya ujangili wa wanyama kama tembo na faru yalijadiliwa.
 Viongozi wa dini mbalimbali wakimsikiliza Nyalandu
Waziri Nyalandu akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa dini mbalimbali baada ya mkutano huo

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »