MANCHESTER UNITED YAHUSISHWA NA USAJILI WA BEKI KISIKI WA ATLETICO MADRID

January 01, 2015

Atletico Madrid itamtoa beki wake kisiki JoĂŁo Miranda kwa moja ya vilabu vya Ligi Kuu ya England katika dirisha dogo la usajili la Januari, hiyo ni kwa mujibu wa gazeti la Daily Star.
Manchester United inatajwa kuwa mlengwa mkuu wa usajili huo ambapo Luis van Gaal anatarajiwa kuongoza mbio za vilabu vya Ligi Kuu katika kuwania saini ya beki huyo wa Kibrazil.
Miranda mwenye umri wa miaka 30, amekuwa nguzo ya Atletico Madrid tangu ilipomsajili Januari 2011, lakini sasa inaonekana wazi kuwa klabu hiyo haina ubavu wa kuendelea kuwa na mchezaji huyo.

Share this

Related Posts

EmoticonEmoticon

:)
:(
=(
^_^
:D
=D
=)D
|o|
@@,
;)
:-bd
:-d
:p
:ng