WAREMBO WA SHINDANO LA MISS TANZANIA WAJIFUA GYM KUJIWEKA FITI

September 15, 2014


 Warembo wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Tanzania 2014 leo wameingia siku ya pili ya kambi yao jijini Dar es Salaam na baada ya semina asubuhi na mapumziko ya mchana jioni hii wamefanya mazoezi katika chumba maalum cha mazoezi 'Gym', ungana na mpigapicha wa Father Kidevu Blog katika picha mbalimbali za warembo hao katika kambi yao.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »