MATUKIO KUTOKA BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMA LEO

September 15, 2014


 Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba  wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma wakati wakielekea kuhudhuria  kikao cha arobaini cha Bunge hilo. 
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba  Ally Kessy (kulia) na Mohammed Raza (kushoto) wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa kikao cha arobaini cha Bunge hilo. Picha na MAELEZO_DODOMA

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »