KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KIBITI

September 16, 2014
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua mradi wa maji katika Chanzo cha maji kwenye kijiji cha Muyuyu kata ya wilaya ya Rufiji wakati wa Ziara ya kiongozi huyo inayoendelea katika mkoa wa Pwani, ikiwa ni ukaguzi wa utekelezaji wa ilani  ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010. ikiwa ni pamoja na kuhimiza wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo, Katika ziara hiyo Kinana anaongoza na Katibu wa NEC Siasa, Uenezi na Itikadi,(PICHA NA KIKOSI KAZI CHA FULLSHANGWE-KIBITI)4 
Mbunge wa jimbo la Kibiti . Mh. Abdul Marombwa akimtwisha ndoo ya maji mmoja wa watumishi wa zahanati ya kijiji cha Muyuyu wakati ziara ya  katika mkoa wa Pwani7 
Katibu Mkuu wa CCM  Ndugu Andulrahmani Kinana akipanda mti katika zahanati ya kijiji cha Nyamatanga wilayani Kibiti mkwani Pwani 
Jengo la zahanati ya kijiji cha Nyamatanga 16 
Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi akizumza na wananchi wa kijiji Nyamatanga kata ya Nyamatanga 19 
MsKatibu wa CCM Mkoa wa Pwani mama Joyce Masunga akizungumza na waanchinchi wa Kibiti. 26 
Mkuu wa wilaya  ya Rufiji Bw. Nurdin Babu akiteta jammbo na Mbenge wa jimbo la Kibiti Mh. Abdul Marombwa huku Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Pwani Ndugu Mwisheshe Mlao.30 

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »