Katibu
Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua mradi wa
maji katika Chanzo cha maji kwenye kijiji cha Muyuyu kata ya wilaya ya
Rufiji wakati wa Ziara ya kiongozi huyo inayoendelea katika mkoa wa
Pwani, ikiwa ni ukaguzi wa utekelezaji wa ilani ya
Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010. ikiwa ni pamoja na kuhimiza wananchi
kushiriki katika shughuli za maendeleo, Katika ziara hiyo Kinana
anaongoza na Katibu wa NEC Siasa, Uenezi na Itikadi,(PICHA NA KIKOSI
KAZI CHA FULLSHANGWE-KIBITI)
Mbunge wa jimbo la Kibiti . Mh. Abdul Marombwa akimtwisha ndoo ya maji mmoja wa watumishi wa zahanati ya kijiji cha Muyuyu wakati ziara ya katika mkoa wa Pwani
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Andulrahmani Kinana akipanda mti katika zahanati ya kijiji cha Nyamatanga wilayani Kibiti mkwani Pwani
Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi akizumza na wananchi wa kijiji Nyamatanga kata ya Nyamatanga
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Andulrahmani Kinana akiweka jiwe la msingi katika ofisi ya CCM jimbo Kibiti.
MsKatibu wa CCM Mkoa wa Pwani mama Joyce Masunga akizungumza na waanchinchi wa Kibiti.
Mkuu wa wilaya ya Rufiji Bw. Nurdin Babu akiteta jammbo na Mbenge wa jimbo la Kibiti Mh. Abdul Marombwa huku Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Pwani Ndugu Mwisheshe Mlao.
Nape
Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi akimsikiliza aliyekuwa
Selemani Ndumbogani Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMa Kibiti mara baada ya
kutangaza kurejea CCM.
Selemani Ndumbogani Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMa Kibiti maraa akikabidhi kadi yake kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Andulrahmani Kinana baada ya kutangaza kurejea CCM.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Andulrahmani Kinana akizungumza jambo na wazeee wa baada ya kuweka jiwe la msingi ujenzi wa ofisi ya serikali ya kijiji cha Kinyanya.
EmoticonEmoticon