![]() |
| Hotuba ya Mh,Nassari ilionekana kuwagusa wageni mbalimbali katika tafrija hiyo na wengine kushindwa kujizuia na kuanza kutokwa na machozi. |
![]() |
| Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassari akiwa na Mstahiki Meya wa Fayetteville Arkansas ,Lioneld Jordan. |
![]() |
| Wahitimu ,viongozi vijana toka nchi mbalimbali Afrika. |







EmoticonEmoticon