Mgombea
nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu wa Simba, Evans Aveva (katikati)
Nkwabi, wakiangalia muda kwa pamoja baada ya kupiga kura zao katika
uchaguzi huo, wakisubiri matokeo na kutangazwa kwa washindi katika
uchaguzi huo uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa Bwalo la Poilisi,
Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Katika uchaguzi huo matokeo ya awali yalikuwa yakionyesha kuwa, Evans Elieza Aveva, alikuwa akiongoza kwa kujizolea jumla ya kura 1452 kati ya 1845 zilizopigwa na kutoa matumaini kwa wapiga kura wake ya kuibuka kidedea katika uchaguzi huo.
Mpinzani wake Andrew Tupa, hadi tunakwenda mitamboni alikuwa amejinyakulia jumla ya kura 387 wakati kura sita zimeharibika. Hata hivyo, matokeo rasmi ya uchaguzi huo yatatangazwa na Kamati ya Uchaguzi ya klabu hiyo chini ya Mwenyekiti Dk Damas Ndumbaro baadaye.
Katika uchaguzi huo matokeo ya awali yalikuwa yakionyesha kuwa, Evans Elieza Aveva, alikuwa akiongoza kwa kujizolea jumla ya kura 1452 kati ya 1845 zilizopigwa na kutoa matumaini kwa wapiga kura wake ya kuibuka kidedea katika uchaguzi huo.
Mpinzani wake Andrew Tupa, hadi tunakwenda mitamboni alikuwa amejinyakulia jumla ya kura 387 wakati kura sita zimeharibika. Hata hivyo, matokeo rasmi ya uchaguzi huo yatatangazwa na Kamati ya Uchaguzi ya klabu hiyo chini ya Mwenyekiti Dk Damas Ndumbaro baadaye.
wakati
huo Geoffrey Nyange 'Kaburu' ameshinda Umakamu wa Rais Simba SC baada
ya kupata kura 1043 akimshinda mpinzani wake wa karibu Jamhuri Mussa
Kihwelo 'Julio' aliyepata kura 413 na Swedi Nkwabi kura 300. Hata hivyo,
hizo ni taarifa za awali, matokeo kamili yatatangazwa na Kamati ya
Uchaguzi baadaye.huo;
Julio akipiga kura..
Mwanachama wa Simba, 'Madenge' akipiga kura
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Simba, Hassan Dalali, akipiga kura.
Aliyekuwa msemaji wa Simba Asha Mhaji, akipiga kura
Mmoja kati ya wagombea wa nafasi ya Ujumbe, Ibrahim Masoud (kulia) akipozi wakati akisubiri matokeo baada ya kupiga kura.
Baadhi ya waandishi wa habari wakipiga kazi wakiwa humo humo ukumbini.
Mwenyekiti wa Simba aliyemaliza muda wake, Aden Ismail Rage, akitimka eneo hilo mida ya mchana, baada ya kupiga kura.
Baadhi ya wanachama wa Simba wakifuatilia kila linaloendelea ukumbini hapo.
Wengine walichoka na kuanza kuuchapa usingizi kwa kuchelewa kupata matokeo.
Julio akipiga kura..
Mwanachama wa Simba, 'Madenge' akipiga kura
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Simba, Hassan Dalali, akipiga kura.
Aliyekuwa msemaji wa Simba Asha Mhaji, akipiga kura
Mmoja kati ya wagombea wa nafasi ya Ujumbe, Ibrahim Masoud (kulia) akipozi wakati akisubiri matokeo baada ya kupiga kura.
Baadhi ya waandishi wa habari wakipiga kazi wakiwa humo humo ukumbini.
Mwenyekiti wa Simba aliyemaliza muda wake, Aden Ismail Rage, akitimka eneo hilo mida ya mchana, baada ya kupiga kura.
Baadhi ya wanachama wa Simba wakifuatilia kila linaloendelea ukumbini hapo.
Wengine walichoka na kuanza kuuchapa usingizi kwa kuchelewa kupata matokeo.
Baadhi ya wanachama wakifuatilia kwa makini.....
EmoticonEmoticon