MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) WAKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI JIJINI DAR ES SALAAM.

April 15, 2014


Inspekta  Mwanadamizi  Idara ya udhibiti Maswala ya Anga,Mutesigwa Mango ,akifafanua jambo  kuhusiana na ajira za Maarubani  na wahudumu wa ndege  hapa nchini  wakati wa mkutano na wahariri wa vyombo vya habari uliohusu  kanuni na taratibu za Mamlaka hiyo,Mkuatano huo ulifanyika katika hoteli ya Peacoco  jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)Fadhili Manongi .Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Udhibiti  Masuala ya Anga Julius Kamhabwa.
Baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari wakiwa katika mkutano  uliofanyika jijini Dar es Salaam ulioandaliwa na Mamlaka ya Usafiri  wa Anga Tanzania  ambao ulilenga kuwapa elimu juu ya shughuli zinazofanywa na mamlaka hiyo.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Assah Mwambene akifafanua  jambo  wakati alipohudhuria mkutano wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga ulioandaliwa mahususi kwa Wahariri wa Vyaombo vya habari  jijini Dar es Salaam.Kutoka kulia  wanaomsikiliza ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Fadhili Manongi  ,  Kaimu Mkurugenzi Idara ya Udhibiti Masuala ya Anga, Julius Kamhabwa.
Picha na albart jackson

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »