Inspekta
Mwanadamizi Idara ya udhibiti
Maswala ya Anga,Mutesigwa Mango ,akifafanua jambo kuhusiana na ajira za Maarubani na wahudumu wa ndege hapa nchini wakati wa mkutano na wahariri wa vyombo vya
habari uliohusu kanuni na taratibu za
Mamlaka hiyo,Mkuatano huo ulifanyika katika hoteli ya Peacoco jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)Fadhili Manongi .Kulia ni Kaimu
Mkurugenzi Idara ya Udhibiti Masuala ya
Anga Julius Kamhabwa. |