January 31, 2014
NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA HABARI AKIONGEA NA WATUMISHI
IMG_0785Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Olegabriel akiongea  na Watumishi wa Wizara naTaasisi zake katika Kikao cha cha kujadili Fursa mbalimbali kwa Maendeleo ya Wizara  kilichofanyika  Jijini Dar es Salaam leo
IMG_0828Mtendaji Mkuu wa TSN Bwana Nderumaki akiwasilisha mada katika Kikao cha kujadili Fursa mbalimbali kwa maendeleo ya Wizara na Taasisi zake kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.(Picha zote na Benjamin Sawe wa Wizara ya Habari)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »