Pokea Mkuu

June 04, 2013
MWENYEKITI wa UVCCM Mkoa wa Tanga,Abdi Makange akimkabidhi Maji ya Kunywa kwa ajili ya timu ya Umiseta ambayo imeweka kambi katika shule ya sekondari Tanga School kwa Afisa Elimu Mkoa wa Tanga,Ramadhani Chomola wanaoshuhudia kushoto ni Afisa Elimu Jiji la Tanga,Mr.Sengasu,kulia ni Afisa Michezo mkoa wa Tanga,Digna Tesha na Katibu wa UVCCM mkoa wa Tanga,Acheni Maulid.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »