Showing posts with label burudani. Show all posts
Showing posts with label burudani. Show all posts

TIGO YAFUNGUA DUKA JIPYA LA KISASA MJINI SENGEREMA

December 04, 2017


Katibu Tawala wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema(shati jeupe) Alan Augustine na Meneja Huduma kwa wateja kanda ya Ziwa wa kampuni ya Tigo, Beatrice Kinabo wakikata utepe kuzindua duka la Sengerema mkoani Mwanza jana, Meneja Mauzo mkoa wa Geita Lugutu Lugutu akishuhudia.
Katibu Tawala wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema(kushoto) Alan Augustine akibadilishana mawazo na Meneja Huduma kwa wateja kanda ya Ziwa wa kampuni ya Tigo Beatrice Kinabo, baada ya kuzindua duka la Tigo mjini Sengerema.



Wananchi wa Sengerema wakishuhudia uzinduzi wa duka.
Meneja Huduma kwa wateja kanda ya Ziwa wa kampuni ya Tigo, Beatrice Kinabo, akizungumza na wakazi wa Sengerma wakati wa uzinduzi wa duka la Tigo jana.

TICTS FAMILY DAY BONANZA ILIVYOFANA JIJINI DAR

December 04, 2017
 Kamati ya Maandalizi ya Bonanza la Familia za Wafanyakazi wa Kampuni ya kuhudumia makontena Tanzania katika bandari ya Dar es salaam (TICTS), ikiwa katika picha ya pamoja wanati wa sherehe hiyo, iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Hoteli ya Kunduchi Beach, jijini Dar es salaam.