WADAU WAJADILI MPANGO MAHSUSI WA NISHATI KATIKA WIKI YA NISHATI JADIDIFU

May 29, 2025


Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga ameongoza wadau mbalimbali kujadili utekelezaji wa Mpango Mahsusi wa Nishati wa Misheni 300. 


Mjadala huo umefanyika  katika Wiki ya Nishati Jadidifu 2025 inayoendelea jijini Dar es Salaam.

Masuala mbalimbali yamejadiliwa ikiwemo namna ya kuvutia na kushirikisha wawekezaji kutoka sekta binafsi na taasisi za kifedha, ili kufikia malengo yaliyowekwa katika Mpango Mahsusi wa Nishati  ikiwemo kuhakikisha asilimia 75 ya wananchi wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2030.





Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

EmoticonEmoticon

:)
:(
=(
^_^
:D
=D
=)D
|o|
@@,
;)
:-bd
:-d
:p
:ng