WAFANYAKAZI BENKI YA TPB MKOA WA MBEYA WAUNGANA NA WATEJA WAO KUSHEREKEA WIKI YA HUDUMA KWA MTEJA

October 11, 2017
Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya TPB Mkoa wa Mbeya katika Picha ya pamoja katika sherehe za wiki ya huduma kwa mteja iliyofanyika katika Ofisi Kuu za TPB Mwanjelwa jijini Mbeya na kuhudhuriwa na wadau mabalimbali wa benki hiyo.

Baadhi ya wateja na wadau mbalimbali waliohudhuria kilele cha wiki ya huduma kwa mteja benki ya TPB Mkoa wa Mbeya katika Ofisi za kuu Tpb Mwanjelwa.


Wateja na wadau wa benki ya TPB Mkoa wa Mbeya wakikata keki katika sherehe za kilele cha wiki ya huduma kwa mteja iiliyofanyika mwishoni mwa wiki katika ofisi kuu za TPB Mwanjelwa .

Meneja wa Benki ya TPB Mkoa wa Mbeya Ndugu Humphrey Julius (kulia ) akilishwa keki na mteja wa TPB  katika kilele cha wiki ya huduma kwa mteja iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika ofisi kuu za benki hiyo Mwanjelwa jijini Mbeya

Wafanyakazi wa benki ya TPB Mkoa wa Mbeya katika nyuso za furaha siku ya sherehe za wiki ya huduma kwa mteja ambayo imefanyika mwishoni mwa wiki katika ofisi za TPB Mwanjelwa jijini Mbeya na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali. .

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »