Wasafirishaji wa mizigo mikoani wapewa semina kuhusu elimu ya mlipa Kodi

October 03, 2016
gar1
Muelimishaji kutoka Kitengo cha Huduma na Elimu ya Mlipa Kodi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Gabriel Mwangosi akielezea jambo wakati wa semina na wanachama wa Chama cha Wasafirishaji wa mizigo mikoani (UWAMI) leo Jijini Dar es Salaam.
gar2
Muelimishaji kutoka Kitengo cha Huduma na Elimu ya Mlipa Kodi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bibi. Valentina Baltazar fafanua jambo wakati wa semina na wanachama wa Chama cha Wasafirishaji wa mizigo mikoani (UWAMI) leo Jijini Dar es Salaam.
gar3
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha wasafirishaji wa mizigo mikoani (UWAMI), ambaye pia ni mwakilishi wa Kampuni ya Bob Transpoter, Bw. Ally Luwago akifafanua jambo wakati wa semina kuhusu elimu ya mlipa Kodi iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) leo Jijini Dar es Salaam.
gar4
Muelimishaji kutoka Kitengo cha Huduma na Elimu ya Mlipa Kodi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Gabriel Mwangosi akionyesha nakala ya namba ya mlipa kodi (TIN) iliyofanyiwa maboresho wakati  wa semina na wanachama wa Chama cha Wasafirishaji wa mizigo mikoani (UWAMI) leo Jijini Dar es Salaam.
gar6
Mmoja wa wanachama wa chama cha usafirishaji mizigo mikoani (UWAMI) aliyefahamika kwa jina moja la David, akichangia mada wakati wa semina kuhusu elimu ya mlipa Kodi iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) leo Jijini Dar es Salaam.
Picha na: MAELEZO

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »