Wakiomba kabla ya kufanya Mazoezi leo hii jioni kwenye Uwanja wa Kaitaba.
Mwenyekiti
wa kamati ya Waamuzi ya TFF, Salum Umande Chama ambaye pia ni Katibu wa
KRFA (katikati) kulia ni Makamu Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu
(TFF), WALLACE KARIA nao walikuwepo Uwanjani hapo kujionea Uwanja huo
ambao umemalizika kwa kusuasua.
Mecky
Meximeakitoa maelekezo kwa wachezaji wake leo hii kwenye Uwanja wa
Kaitaba, Wakijiandaa kuikaribisha Timu ya Mwadui hivi karibuni.
Kwa Makini Wachezaji wa Kagera Sugar wakisikiliza Viongozi wao
Wachezaji wa Kagera Suga wakijifua leo hii hioni kwenye Uwanja wa Kaitaba
Dokta wa Timu ya Kagera Sugar(kulia) akiteta jambo na Mwamed (kushoto)
Walinda mlango wa Kagera Sugar wakijifua Vikali leo hii
Kocha Msaidizi wa Kagera Sugar Ally Jangaru
Mashabiki
wamejitokeza kwa Wingi kuwakaribisha Kagera Sugar ambao walichezea
Misimu miwili nje ya Uwanja wa Kaitaba. Msimu ulopita Kagera waliwapa
presha kubwa wapenzi wao hadi dakika za mwisho ambapo walikuwa
wanapigania kutoshuka daraja.
Mashabiki wakiwacheki Kagera Sugar leo wakati wa Mazoezi Kaitaba
Mashabiki wa Kagera Sugar leo wamejitokeza kwa wingi kuwaona wenzao 'Wanankurukumbi' wakati wa mazoezi
Mashabiki
na Wapenzi mbalimbali wa timu ya Kagera Sugar wamejitokeza kwa Wingi
hii leo kwa mara ya kwanza baada ya muda mrefu kupita kwa ujenzi wa
uwanja huo.
Mazoezi makali kujiandaa na Mzunguko wa Tatu wa Ligi kuu Vodacom
Makipa
wa Kagera Sugar wakijiuliza jambo leo wakati wa mazoezi yao kwa mara ya
kwanza tangu Uwanja huo umalizike kujengwa hivi karibuni. Kagera Sugar
wanajiandaa na Mchezo wao wa Ligi kuu Vodaom tarehe 3.
Mapumziko, Wachezaji wa Kagera Sugar wakipata maji ya kunywa.
Kocha Mkuu wa Kagera Mecky Mexime
Shabiki wa Kagera Sugar
Straika wa Bukoba Veteran Salum Bonge nae alikuwepo Uwanjani hapo

Kocha mpya wa Kagera Sugar Mecky Mexime 

















EmoticonEmoticon