WAZIRI NAPE AWAKARIBISHA WASANII BUNGENI DODOMA LEO

May 13, 2016
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye akiwa na wasanii mbalimbali pamoja na blogger nje ya bunge baada ya kuwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa Fedha wa 2016/2017, bungeni Dodoma. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Msanii Wema Sepetu akiwa na baadhi ya wasanii wengine bungeni

 Nape akiwa na baadhi ya wasanii nje ya Bunge
 Nape akisalimiana na wasanii
 Wema Sepetu akiwa na Martha Mlata



Wema akiwa na mmoja wa marafiki zake bungeni Dodoma
Mchekeshaji Masanja wa kikundi cha Ze Comedy akiwa bungeni wakati wa Bajeti hiyo

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »