Familia ya wanahabari kutoka
media mbalimbali pamoja na baadhi ya wahariri walioshiriki mazishi ya
mama wa mhariri mtendaji wa The New Habari Absalom Norman Kibanda
aliyesimama katikati mwenye miwani mara baada ya maziko yaliyofanyika
Rungwe mission wilayani Rungwe mkoani Mbeya jana mchana.
Kikosikazi cha Fullshangwe
kinakupa pole sana kwa msiba uliokupata na kumuomba mungu akupe
uvumilivu wewe pamoja na ndugu wote katika kipindi hiki kigumu cha
kuondokewa na mpendwa wenu katika familia Mungu alitoa na Mungu ametwaa
jina la Bwana Lihimidiwe AMEN