Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Meneja
Mkuu wa Uzalishaji katika kiwanda cha Ushoni wa Nguo za aina mbalimbali
Mw. Ritesh Krishandev Beesony, wakati alipowasili katika kiwanda hicho jana April 16,2016 kwa ajili ya kutembelea na kuangalia utendajia kazi
zinazofanywa kiwandani hapo. Makamu wa Rais yupo Mkoani Morogoro kwa
ziara ya kikazi ya siku tatu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiangalia nguo za aina
mbalimbali zinazotengenezwa na kiwanda cha Ushoni cha Mazawa kiopo
Msamvu Mkoani Morogoro wakati alipotembelea kiwanda hicho jana April
16,2016 kwa ajili ya kuangalia utendajia kazi zinazofanywa kiwandani
hapo. Makamu wa Rais yupo Mkoani Morogoro kwa ziara ya kikazi ya siku
tatu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Viongozi
na wafanyakazi wa kiwanda cha Ushoni wa Nguo cha Mazawa kiliopo Msamvu
Mkoani Morogoro baada ya kukamilisha ziara yake ya kutembelea kiwanda
hicho jana April 16,2016 Makamu wa Rais yupo Mkoani Morogoro kwa ziara ya
kikazi ya siku tatu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na Viongozi na
wafanyakazi wa kiwanda cha Ushoni wa Nguo cha Mazawa kiliopo Msamvu
Mkoani Morogoro baada ya kukamilisha ziara yake ya kutembelea kiwanda
hicho jana April 16,2016 Makamu wa Rais yupo Mkoani Morogoro kwa ziara ya
kikazi ya siku tatu.