MBUNGE MAJIMAREFU ALIENDELEA NA ZIARA JIMBONI KWAKE

March 29, 2016


 Moja ya milima iliyoko kata ya Kerenge jimbo la Korogwe Vijijini ambayo nyakati za jioni hutoa moshi na usiku hadi alfajiri hutiririsha maji baridi.

 Wananchi kata ya Kwashemshi jimbo la Korogwe Vijijini wakimsikiliza Mbunge wao Majimarefu wakati alipofanya ziara ya kuwashukuru na kusikiliza kero zao jana.




 Mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM) Stivin Ngonyani Almaarufu Profesa Majimarefu akihutubu katika mkutano wa hadhara kata ya Kerenge jimbo la Korogwe Vijijini jana.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »