Mwenyekiti wa Bunge Mhe.Andrew
Chenge pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi Utumishi na utawala Bora
Mhe.Angellina Kairuki wakiwasili katika viwanja vua Bunge kwa ajili ya
kushiriki kikao cha 7 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Bunge Mhe.Andrew
Chenge akiwasili katika ukumbi wa Bunge tayari kwa kuongoza kikao cha 7
cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Bunge Mhe.Andrew
Chenge akiongoza sala kwa ajili ya Bunge na Wabunge wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania katika kikao cha 7 cha Bunge la 11 linaloendelea
Mjini Dodoma.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya
Waziri Mkuu Sera,Bunge Kazi, Vijana na Ajira Mhe Anthony Mavunde akijibu
hoja toka kwa Wabunge mbalimbali katika kikao cha 7 cha Bunge la 11
linaloendelea Mjini Dodoma
Waziri wa Nchi Ofisi Utumishi na
utawala Bora Mhe.Angellina Kairuki akijibu hoja toka kwa Wabunge
mbalimbali katika kikao cha 7 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma
Wairi wa Ulinzi na Jeshi la
Kujenga taifa Mhe dkt Hussein Mwinyi akiteta jambo na Waziri wa
Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe William Lukuvi katika kikao cha 7
cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma
Waziri wa Ujenzi,uchukuzi na
Mawasiliano Mhe.prof Makame Mbalawa akijibu hoja toka kwa Wabunge
mbalimbali katika kikao cha 7 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma
Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Mhe.George Masaju akijibu hoja toka kwa Wabunge mbalimbali katika kikao
cha 7 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma
Picha na Raymond Mushumbusi MAELEZO