PUMZIKA WA AMANI MAREHEMU ANNETH CHRISTIAN KAJURA

November 03, 2015
Mume wa marehemu akitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa mke wake Anneth Christian mwishoni mwa wiki iliyopita nyumbani kwa marehemu Mbezi Beach - SalaSala Jijini Dar es Salaam na baadae maziko yalifanyika Makaburi ya Kondo - Bahari Beach.
 Mmoja ya wanandugu akitoa heshima ya mwisho.
 Mume wa marehemu Anneth Christian akiweka mchanga katika kaburi la mke wake katika Makaburi ya Kondo - Bahari Beach.
 Mama wa marehemu akitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa mwanae Anneth Christian mwishoni mwa wiki iliyopita nyumbani kwa marehemu Mbezi Beach - SalaSala Jijini Dar es Salaam na baadae maziko yalifanyika Makaburi ya Kondo - Bahari Beach.
 Mume wa marehemu akiweka shahada la ua katika kaburi la mke wake katika Makaburi ya Kondo - Bahari Beach.
 Mtoto wa marehemu akiweka mchanga katika kaburi la mama yake.
 Mama wa marehem akiweka mchanga katika kaburi la mwanae.
 Wanafamilia wakiweka maua katika kaburi la Anneth Christian.
Mwili wa Marehemu Anneth Christian ukiingizwa nyumbani kwake Mbezi Beach - SalaSala Jijini Dar es Salaam na baadae maziko yalifanyika Makaburi ya Kondo - Bahari Beach.
 Waombolezaji.
-- ---- Cathbert Angelo Kajuna, Founder and Mananging Director Kajunason Blog, P.O Box 6482, Dar es Salaam. Tel: +255 787 999 774 Alt: +255 765 253 445 www.kajunason.blogspot.com "Everything is Possible Through Peace & Stability''

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »