RAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA JENGO LA MAKAZI NA BIASHARA NHC MOROCCO SQUARE

October 07, 2015

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwaeka jiwe la msingi la mradi mkubwa wa jengo la makazi na biashara la Morocco Square ambao ni mkubwa kwa eneo hili la Afrika Mashariki ambao umejengwa katika msingi mmoja. Wanaoshuhudia nia Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya CRDB PLC LTD, Dk Charles Kimei. 
Mradi huu una  uwezo wa kubeba watu 6000 na kutoa ajira ya zipatazo 24,750.  Mradi huu una majengo manne tofauti, ikiwemo ya ghorofa 22 kwa ajili ya nyumba 100 za makazi za vyumba vitatu na vinne, ghorofa 20 na 17 kwa ajili ya Ofisi na maduka makubwa  na  ghorofa 13 kwa ajili ya Hoteli  yenye vyumba vya kulala 81. Mradi huu una eneo maalum la kutua helkopta na eneo kubwa kwa ajili ya maegesho ya magari.
Jengo la NHC Morocco Square litakavyokuwa mara baada ya kukamilika.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo ya mradi wa Morocco Square kutoka kwa Mkurugenzi wa Ubunifu wa NHC, Issack Peter 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo ya mradi wa Morocco Square kutoka kwa Mkurugenzi wa Ubunifu wa NHC, Issack Peter.
 Baadhi ya wafanyakazi wa NHC na wageni waalikwa waliokuwapo katika shughuli hiyo.
  Baadhi ya wafanyakazi wa NHC na wageni waalikwa waliokuwapo katika shughuli hiyo.
 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma na Huduma kwa Jamii Susan Omari akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya NHC, Zakhia Meghji wakati akiingia katika eneo la tukio.
  Rais Kikwete akiwasili katika eneo lililowekwa jiwe la msingi la Morocco Square.
 Rais Kikwete akisalimiana na wafanyakazi wa NHC wakati akiwasili eneo la tukio.
  Rais Kikwete akisalimiana na wafanyakazi wa NHC wakati akiwasili eneo la tukio.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »