Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi wa Chama
cha Mapinduzi CCM wakati alipowasili uwanja wa Urafiki Jimbo la Shaurimoyo Oktoba 7, 2015.katika mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM zinazoendelea.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM
Mkoa wa Mjini wakati alipowasili uwanja wa Urafiki katika mkutano wa
hadhara wa kampeni za CCM Jimbo la Shaurimoyo Oktoba 7, 2015.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiwapungia mkono Wanachama wa CCM
na Wananchi wakati alipowasili uwanja wa Urafiki Jimbo la Shaurimoyo
leo katika mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM zinazoendelea, (kushoto)
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai,
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) wakiimba wimbo wa Chama
na Viongozi wengine wakati alipowasili uwanja wa Urafiki Jimbo la
Shaurimoyo leo katika mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM
zinazoendelea.
Vijana wa Chamacha Mapinduzi walipokuwa wakiimba maalum wa kuhamasisha wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika uwanja wa Urafiki Jimbo la Shaurimoyo Mjini Unguja,mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein.
Baadhi
ya wanachama na Vijana wa CCM wakishangilia wakati Viongozi wa Chama
walipokuwa wakiwasili katika uwanja wa Urafiki leo wakati wa mkutano wa hadhara
wa kampeni za CCM uliofanyika leo,mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar
Dk.Ali Mohamed Shein.
Vijana
wa CCM wakicheza muziki ulioporomoshwa na kikundi cha CCM Amani
Bigstar Viongozi wa Chama walipokuwa wakiwasili katika uwanja wa
Urafiki katika mkutano wa hadhara
wa kampeni za CCM uliofanyika leo,Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini
Magharibi,mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein,
Vijana
wa Chama cha Mapinduzi wakiongozana kuelekea katika uwanja wa Urafiki
katika mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM uliofanyika ,mgeni rasmi
akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo
Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein,