Mzee yupo tayari kwa kupiga kura kumchagua Rais,Mbunge na Diwani wa Chama cha Mapinduzi.
January
Makamba akizungumza na Wananchi wake wa kata ya Mamba,Kubwa ametekeleza
Upatikanaji wa Umeme,Usambazi wa maji na uanzishwaji wa kituo cha Afya.
January Makamba chaguo la Wanabumbuli.
Watoto nao ni Chipukizi wa Chama cha Mapinduzi kwa uongozi Ujao.
“Mabadiliko ya kweli yapo CCM”
January
Makamba akinadi sera zake na kuzungumzia Utekelezaji wa Ilani ya Chama
cha Mapinduzi kwa jimbo la Bumbuli kata ya Mbuzii.
Vijana wa kazi wa Chama cha Mapinduzi wakiwasili kata ya Dule.