Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na wananchi na
wanachama wa CCM katika uwanja wa Urafiki,jimbo
la Shaurimoyo katika wilaya ya mjini Mkoa wa Mjini Magharibi
Unguja,katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika Oktoba 7, 2015.
Picha na Ikulu.
Vijana
wa Chama cha Mapinduzi wakiimba wimbo wa kuhamasisha wakati wa Mkutano
wa Kampeni za CCM zilizofanyika leo uwanja wa Urafiki jimbo la
Shaurimoyo Wilaya ya mjini mkoa wa Mjini Magharibi,mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein.